Shukrani za dhati kwa Mwenyezi Mungu atupaye nguvu ya kushinda, uongozi mzima wa Ymp Tanzania, watu woote walioidhamini v2i baada tuu ya kuona tangazo mitadaoni, na uongozi wa shule ya msingi Mburahati kwa kutuamini na kutupa kibali.
Hatuishii hap. Mwakani tutakuwa na shule nyingine pia.
Kaa mkao wa kusubiri full show kupitia YMP TV
0 maoni:
Chapisha Maoni